Posts

we are back again

K aribu sana ndugu wafuatiliaji wa blog yetu ili kuweza kupata maarifa mbalimbali,.Tupo kwa ajili yenu kuhakikisha unahabarika ipasavyo na kufanya siku yako iwe nyenu kuhakikisha unahabarika ipasavyo na kufanya siku yako iwe nzuri zuri Asanteni sana 

Sifa za biashara inayoweza kufikia mafanikio makubwa

Ndugu msomaji na mfuatiliaji wa Habarika.com blog nipende kukwambia kwamba kuna biashara nyingi sana duniani.Leo tunazungumzia sifa za biashara inayoweza kukupa mafanikio makubwa.Kimsingi biashara yoyote utakayoamua kufanya kama utakuwa serious nayo ukavumilia na ukajikita hasa inaweza kukulipa lakini kama utaingia kwenye biashara kwa mguu mmoja ( kwa kubeep) bila shaka haitakupa mafanikio mwishowe utakata tamaa ufunge biashara yako.Zifuatazo ni sifa za biashara zenye mafanikio makubwa        1: biashara iwe na urahisi wa kueleweka,ili biashara yako izae mafanikio na kukua zaidi inatakiwa iwe inaeleweka kwa wateja wako na watu wote kwa ujumla kwa urahisi.       2: biashara iwe na wateja wa kujirudiarudia Biashara yoyote yenye watteja wa namna hiyo haiwezi kufa na itazidi kukua kwasababu aliyenunua Jana atarudi leo na kesho na wewe utaendelea kuuza kila siku na kupata faida.      3: Sifa ya tatu ni hii,biashara iwe na bidhaa zisizo...

Siri ya utajiri

Hili neno utajiri limekuwa likiwasumbua watu vichwa wanawaza wafanye nn ili kupata utajiri wengine wanadhani kwamba ili kupata utajiri ni mpaka utoe kafara, la si hivyo wala kupata utajiri sio mpaka uingie kwenye chama cha freemason hapana kufanya hivyo ni kumkufuru Mungu tu na kujitafutia dhambi za bure.Sasa Leo nakudokezea kidogo siri ya utajiri,ukitaka kuwa tajiri itakubidi uanzishe biashara yako ambayo itakuwa na faida ambayo utakuwa na uwezo wa kuimiliki na siyo biashara ikumiliki wewe hapo utakuwa tajiri lakini ukishindwa hilo utaishia kupata pesa ya kula tu.Kama wewe ni mfanyakazi tafuta wazo la biashara anzisha maana hakuna mfanyakazi tajiri duniani matajiri wakubwa ni wafanyabiashara ,hivyo tafakari chukua hatua

Uchumi na biashara

Karibu sana kwenye blog hii msomaji upate maarifa ya km biashara na kiuchumi ili ujikomboe kiuchumi

Mbinu za kuweka akiba

Image
Akiba ni muhimu sana katika harakati za kutafuta maisha,ukizungumza na watu mbalimbali ukawauliza juu ya kuweka akiba utapata majibu mengi,Mwingine atakwambia kwamba "pesa napata lakini haitoshi .Ukijenga utamaduni wa kujiwekea akiba utajikuta pesa yako inatosha.Kuweka akiba sio lazima uwe na kipato kikubwa bali hicho kidogo ukijiwekea mikakati stahiki utaweza kuweka akiba ya kutosha Hizi no mbinu ambazo kwa namna moja ama nyingine zitakuwwzesha kuweka akiba          1:kuwa na nidhamu ya fedha Hili ni suala dogo kulifanya lakini ni gumu sana kulitimiza.Fedha yoyote inahitaji nidhamu unatakiwa kuheshimu kila senti unayoipata,epuka matumizi yasiyo ya lazma maana pesa ukiwa nayo itakuongoza kufanya kila jambo maana kwa wakati huo unaona pesa unayo.In bora ukipata pesa weka akiba angalau asilimia kumi kuliko kuitumbua bila mpangilio       2: jiwekee malengo yanayopimika Watu wengi hasa wa kipato cha kati na cha chini huwa hawajiwekei malengo...

Soma hii fact

THAMANI yako HAIPUNGUI kwa sababu watu hawathamini ama kukubali unachofanya.Thamani YAKO inapungua pale ambapo UNAACHA KUFANYA kitu unachojua ni MUHIMU kwa maisha yako na ndicho Kitu SAHIHI kwa kisingizio kuwa WATU HAWAKUTHAMINIHapo unajishushia thamani. Kuna mambo 3 unatakiwa kuzingatia: 1)Kuna watu HAWAKUTHAMINI kwa sababu bado hawajajua thamani yako lakini hiyo haimaanishi wewe hauna thamani. Njia nzuri ya kushinda hili ni kuendelea kufanya kwa ubora wa hali ya juu hadi wanaodhani unabahatisha Wajue kumbe ndio ulivyo. 2)Kuna watu hawakuthamini kwa sababu wanaona unachofanya wanatamani kufanya ila wameshindwa, hivyo wanataka kukukatisha tamaa kwa kukuonyesha kuwa unachofanya hakina thamani. 3)Kuna watu hawakuthamini kwa sababu wanaona haustahili. Duniani kuna maajabu ya watu kufikiri kuwa kuna watu wa aina fulani ndio wanahaki ya kufanikiwa katika mambo fulani. Kama wewe sio mmoja wa kundi hilo, ukianza kufanya wataonyesha kutokukuthamini.Hata Yesu alidharauliwa kutokana na mji...